Mgombea wa nafasi ya ujumbe kata ya Gongolamboto, Mtaa wa Ulongoni, Modestus Timbisimilwa, ameuawa leo mchana baada ya kupigwa.
Chadema wametoa taarifa hiyo katika mtandao wao wa X, na kueleza kuwa, Modestus amefariki mchana huu baada ya kupokea kipigo kutoka kwa jeshi la Polisi, wakati akizuia kura feki kuingizwa kwenye sanduku la kura.
WINO Tanzania is a nonprofit, non-government, media organization registered on 11th August 2022 under non-Government Organizational Act of 2002, with Registration No. 00NGO/R/3681.
WINO seeks to bridge the gaps in a media industry in Tanzania, by providing grants for Investigative Journalism, training and mentorship programs so as enable them to perform with greater professionalism and hence impact journalism